Home » » WAZIRI GHASIA ATIMIZA AHADI ZAKE KWA WANANCHI WA JIMBONI KWAKE MTWARA VIJIJINI

WAZIRI GHASIA ATIMIZA AHADI ZAKE KWA WANANCHI WA JIMBONI KWAKE MTWARA VIJIJINI

Mbunge wa Jimbo la Mtwara Vijijini Mhe Hawa Ghasia leo ametumia zaidi ya milioni 90 kukabidhi vitu mbalimbali alivyokuwa ameahidi katika jimbo lake la mtwara Vijijini.

Miongoni mwa Vitu alivyokabidhi leo ni pamoja na bati 1700, Jezi seti 28 pamoja  Pikipiki 28 na kusisitiza kuwa ataendelea kutimiza ahadi zake alizoahidi kwa wapiga kura wake wa Jimbo la Mtwara Vijijini

Aidha Mhe Ghasia amewataka wananchi wa Mtwara Vijijini kushirikiana katika kuleta maendeleo kwa wilaya yao kwa kuunda vikundi vya ujasiliamali ambavyo yeye anauwezo wa kuvisaidia kuliko kumsaidia mtu mmoja mmoja

Katika hauta nyingine Mhe ghasia amewataka wananchi hao kutumia vizuri vifaa hivyo walivyopewa na kuvitthamini zaidi

Kutimizwa kwa ahadi hizo za vitu mbalimbali alivyovito leo kumenyamazisha maneno ya viongozi wa upinzani waliokuwa wakibeza utendaji kazi wake mara kadhaa kupitia vikao vyao vya ndani vya vyama hivyo
Watu mbalimbali hawakujiuzia kutoa shukrani zao baada ya mhe Ghasia kutoa vitu hivyo...hiki ndicho alichoandika mwenyekiti wa Vijana mtwara Vijijini kutoka CCM Seleman Sankwa
Selemani Sankwa·HONGERA SANA MH.HAWA GHASIA.UMETOA PIKIPIKI 28,MABATI 1700,JEZI SETI 28.HAKIKA NI ZAIDI YA MILIONI 90 LEO UMETOA.MUNGU AKUBARIKI.JUHUDI ZAKO TUNAZIONA NA TUNAZITHAMINI.
HONGERA SANA MH.HAWA GHASIA.UMETOA PIKIPIKI 28,MABATI 1700,JEZI SETI 28.HAKIKA NI ZAIDI YA MILIONI 90 LEO UMETOA.MUNGU AKUBARIKI.JUHUDI ZAKO TUNAZIONA NA TUNAZITHAMINI.


0 comments:

Post a Comment

TANGAZA NASI | 0783 561 514

 
Idrisa Bandali Available On : Facebook | Instagram | Twitter
Copyright © 2013. BANDALI 44 -Haki Zote Zimehifadhiwa
Blog Hii Imetengenezwa Na Ernest James Siwigo Inamilikiwa Na Idrisa Bandali
2brothers Inc 0719766915 | 0764214303