Home » » PICHA ZA WANACHAMA WA SIMBA WALIOANDAMANA LEO WAKITAKA WAMBURA ARUDISHWE KWENYE UCHAGUZI WA SIMBA ZIKO HAPA

PICHA ZA WANACHAMA WA SIMBA WALIOANDAMANA LEO WAKITAKA WAMBURA ARUDISHWE KWENYE UCHAGUZI WA SIMBA ZIKO HAPA

Mashabiki wa Timu ya Simba wakijikusanya nje ya jengo la klabu hiyo kongwe kupinga Wambura kuondolewa kwenye uchaguzi unakuja hivi karibuni
Hapa mashabiki wakizidi kujikusanya kwa wingi mchana huu
Wanachama wa simba wakiwa wamelizunguka Jengo la klabu yao mchana huu kupinga kuondolewa kwa wambura kwenye uchaguzi wa klabu hiyo
Wanachama wa Simba wakipiga kelele nje ya jengo la klabu yao hiyo wakitaka wapewe ufafanuzi wa kina kwanini Wambura ametolewa kwenye uchaguzi unaokuja
Mmoja wa wanachama wa Simba akiongea na mamia ya wanachama nje ya jengo la klabu hiyo kutaka wambura arejeshwe mara moja kwenye orodha ya wagombea
Hapo mmoja ya wanachama waliojikusnya akiwatuliza wanachama wenzake ili waweze kupatamaelezo
Polisi wakiwa wamefika eneo la klabu ya Simba ili kuimarisha ulinzi na kuwataka wanachama wa Simba kutulia ili wapate majibu kwa kamati ya uchaguzi
Mamia ya wanachama wa Simba wakiwa nje ya jengo la simba mchan huu

0 comments:

Post a Comment

TANGAZA NASI | 0783 561 514

 
Idrisa Bandali Available On : Facebook | Instagram | Twitter
Copyright © 2013. BANDALI 44 -Haki Zote Zimehifadhiwa
Blog Hii Imetengenezwa Na Ernest James Siwigo Inamilikiwa Na Idrisa Bandali
2brothers Inc 0719766915 | 0764214303