Home » » JE ? STEPHANIE ROCHE KUWA MWANAMKE WA KWANZA DUNIANI KUTWAA FIFA PUSKAS AWARD 2014

JE ? STEPHANIE ROCHE KUWA MWANAMKE WA KWANZA DUNIANI KUTWAA FIFA PUSKAS AWARD 2014


Baada ya kutolewa orodha ya magoli kumi bora ambayo yaliingia kuwania tuzo ya goli bora la mwaka tuzo za Puskas.Majina matatu yamefanikiwa kuingia katika mchuano wa kuwania goli bora la mwaka.
Mchezaji wa kimatifa wa timu ya wanawake ya Poland Stephanie Roche,James Rodriguez kutoka Colombia na Robin Van Persie wa Uholanzi wametajwa kuwania tuzo hiyo siku ya jana.Tuzo za Puskas zilianzishwa october 20 mwaka 20 na zimepewa heshima kwa mchezaji hatari wa kalabu ya Real Madrid miaka ya 1950 na 1960 ferenc Puskas.



stephanie roche



      KIVUTIO CHA ROCHE KUINGIA KATIKA TUZO ZA PUSKAS 2014 
Roche's ni mshambuliaji wa Irishi katika klabu ya Peamount.Mwaka 2013 oktoba video ya goli lake la ajabu iliipata watazamaji million 3 katika you tube na Ilimsaidia kuwa na utambulisho mkubwa katika soka la kimataifa na kula mkataba katika klabu ya ufaransa ASPTT ALBI.Kama atashinda tuzo atakuwa mchezaji wa kwanza mwanamke kutwaa tuzo hiyo ya Puskas.Mshindi atatangazwa mjini Zurich januari 12 2015
 

stepanie roche akishangilia goli



                   WASHINDI WA PUSKAS TANGU 2009
C .Ronaldo 2009.
Hamit Altintop 2010 
Neymar  Jr 2011
Miroslav Stoch 2012
Zlatan Ibramovic 2013






















stepanie roche akifunga goli


0 comments:

Post a Comment

TANGAZA NASI | 0783 561 514

 
Idrisa Bandali Available On : Facebook | Instagram | Twitter
Copyright © 2013. BANDALI 44 -Haki Zote Zimehifadhiwa
Blog Hii Imetengenezwa Na Ernest James Siwigo Inamilikiwa Na Idrisa Bandali
2brothers Inc 0719766915 | 0764214303