STRAIKA wa Uruguay Luis Suarez
amefungiwa Miezi Minne kutoshiriki chochote kwenye Soka baada ya
kupatikana hatia ya kumuuma Meno Beki wa Italy Giorgio Chiellini.
Straika huyo wa Liverpool pia amefungiwa Mechi 9 za Kimataifa zitakazomfanya awe nje ya Fainali za Kombe la Dunia huko Brazil.
Adhabu hii pia inamaanisha atazikosa Mechi 9 za kwanza za Klabu yake Liverpool za Ligi Kuu England kwa Msimu mpya.
0 comments:
Post a Comment